Ndio yana hati miliki kutoka wizara ya ardhi.Yana hati miliki?? Sio ya kimila bali kutoka Wizarani Ardhi??
Mi benki nayofanyia hawakopeshi mikopo ya hivyo...nadhani jaribu kuwatembelea crdb ni kama nilishasikia hiyo kitu inawezekanaNdio yana hati miliki kutoka wizara ya ardhi.
Nashukuru sana nduguMi benki nayofanyia hawakopeshi mikopo ya hivyo...nadhani jaribu kuwatembelea crdb ni kama nilishasikia hiyo kitu inawezekana
Sawa ndugu nawasubiri nipate kujua kuhusu hilo jambo.Naona Loan officers wako bize kidogo ....
Ngojeni saa 11 hivi watapita hapa