Msaada kuhusu Msc Finance and Economics

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,774
Wakuu habari zenu???

Nina shahada ya kwanza ya Business Administration, sasa nataka ni i-upgrade to MBA economics and finance, nahitaji chuo maeneo hasa ya moshi na kidogo arusha, kwa anayefahamu kama kunachuo kinachotoa hiyo kozi tafadhari tiririka hapa,
Pia kama Una mbadala wa hii kozi pia sio mbaya kuweka hapa.

asanteni......
 
.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…