Crisheb956
Member
- Dec 26, 2018
- 21
- 13
Poleni na majukumu wapendwa.
Kama tulivyo wengi nina kipili pili balaa.nikichana nywele kichwa kina uma. Natamani sana nifuge nywele natural ila kuchana ndo mziki.....nikikaa mda mrefu bila kuchana nikija kuchana kichwa kinauma na nywele zina katika.
Naomba ushauri wa mafuta ya kulainisha nywele. Ili niweze kuchana hata zikiwa kubwa.
Kuhusu ngozi nina ngozi sensitive. Na pia mimi ni chocolate colour kuna kipindi napata pimples kuna kipindi zinapotea.
Uso wangu una mafuta. Ila nisipo paka mafuta or lotion inakua dry. Naomba msaada wa mafuta au lotion ambayo aita nichubua ila itakayo nisaidia kuondoa makovu pamoja na pimples.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tulivyo wengi nina kipili pili balaa.nikichana nywele kichwa kina uma. Natamani sana nifuge nywele natural ila kuchana ndo mziki.....nikikaa mda mrefu bila kuchana nikija kuchana kichwa kinauma na nywele zina katika.
Naomba ushauri wa mafuta ya kulainisha nywele. Ili niweze kuchana hata zikiwa kubwa.
Kuhusu ngozi nina ngozi sensitive. Na pia mimi ni chocolate colour kuna kipindi napata pimples kuna kipindi zinapotea.
Uso wangu una mafuta. Ila nisipo paka mafuta or lotion inakua dry. Naomba msaada wa mafuta au lotion ambayo aita nichubua ila itakayo nisaidia kuondoa makovu pamoja na pimples.
Sent using Jamii Forums mobile app