Msaada kuhusu open university

Msaada kuhusu open university

Joined
Jun 22, 2014
Posts
42
Reaction score
7
Naomba msaada wenu wakuu nataka kujua duration (muda) kwa kozi ztolewazo na open ni sawa na duration(muda) za vyuo vya kawaida au?,,,,na ikiwezeka na anaejua fee structure za open,,,,mfano tukichukulia diploma ya ed,,,maana nmesoma detail kwa geogle cjazielewa vzur,,,natanguliza shukurani
 
Nadhani ungejaribu kucheki web site yao kwanza. Unaweza pata details nyingi na muhimu
 
Unatakiwa kusoma c chini ya miaka 3 sawa na vyuo vingne na unatakiwa uchukue unit zisizopungua 38 kwa muda huo kwa mwak wa masomo 2013/2014 walikuwa wanafanya 60000 per unit, mitihani 5000 per unit
 
Unatakiwa kusoma c chini ya miaka 3 sawa na vyuo vingne na unatakiwa uchukue unit zisizopungua 38 kwa muda huo kwa mwak wa masomo 2013/2014 walikuwa wanafanya 60000 per unit, mitihani 5000 per unit

asante mkuu,ila nataka nijue hizo unit 38 ni kwa miaka yote 3 au kila mwaka?
 
Naomba msaada wenu wakuu nataka kujua duration (muda) kwa kozi ztolewazo na open ni sawa na duration(muda) za vyuo vya kawaida au?,,,,na ikiwezeka na anaejua fee structure za open,,,,mfano tukichukulia diploma ya ed,,,maana nmesoma detail kwa geogle cjazielewa vzur,,,natanguliza shukurani

Ndani ya miaka 6 uwe umemaliza degree yako japo waweza maliza kwa mwaka 1, 2, 3, 4, 5 au 6 kadri ya kasi yako. Units ni 36-42 kwa coz zote kwa muda wote utakaosoma. Wengi husoma kwa average ya miaka 3 kama vyuo vingine. TAHADHALI "SHULE YA OPEN UNIVERSITY NI NGUMU SANA, INAHITAJI KUJITOA NA KUSOMA KWA BIDII SANA, MITÌHANI NI MIGUMU MNO"
 
Back
Top Bottom