kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Aina hiyo sijawahi kuitumia, nilizowahi kutumia ni za mkaaa zenye mishikio miwili na mmoja, ile ya mshikio mmoja ni imara kuliko ya mishikio miwili kwasababu ile ya mishikio miwili kile kipira cha juu kinawahi kupasuka kazi ndio huishia hapo
Aina hiyo sijawahi kuitumia, nilizowahi kutumia ni za mkaaa zenye mishikio miwili na mmoja, ile ya mshikio mmoja ni imara kuliko ya mishikio miwili kwasababu ile ya mishikio miwili kile kipira cha juu kinawahi kupasuka kazi ndio huishia hapomkuu
mkuu pita huku uje kutusaidia basiAina hiyo sijawahi kuitumia, nilizowahi kutumia ni za mkaaa zenye mishikio miwili na mmoja, ile ya mshikio mmoja ni imara kuliko ya mishikio miwili kwasababu ile ya mishikio miwili kile kipira cha juu kinawahi kupasuka kazi ndio huishia hapo
Asante mkuu kwa maelezo mwanana...je ni wapi hapa Dar wanauza hivyo vipira na accessories zingine zinazoendana na P/Cooker?
Sina uhakika kama kuna spare, kesho nitapiga picha nililonalo nikuonyeshr design ninazoziongeleanashkuru mamylove yangu ni ya mishikio miwili nimenunua juzi kumbe nati hazikukazwa ikateleza ikaanguka kimpira cha juu kimepasuka sijui kama naweza kupata accesory ya vimpira
shukrani mkuu ulisahau kupiga pichaSina uhakika kama kuna spare, kesho nitapiga picha nililonalo nikuonyeshr design ninazoziongelea
Majukumu mkuu yanafanya tunasahau mambo mengi, ngoja niweke reminder inikumbushe kesho. Samahani kwa hiloshukrani mkuu ulisahau kupiga picha
Hii ya kwanza sio nzuri hapo nilipoweka alama ya kiboksi chekundu kuna kua kama na kitaili cha plastiki kwa ajili ya kukaza sufuria baada ya kuifunga na hizo tairi ni rahisi sana kupasuka na zikishapasuka ndio basi tenaSample kama hiziView attachment 913580View attachment 913581
@kinywanyukuHii ya kwanza sio nzuri hapo nilipoweka alama ya kiboksi chekundu kuna kua kama na kitaili cha plastiki kwa ajili ya kukaza sufuria baada ya kuifunga na hizo tairi ni rahisi sana kupasuka na zikishapasuka ndio basi tena
Hiyo ya pili hapo kwenye kimshale hicho kidude cheusi kikipotea ndio basi tena ila hili ni imara sana kwasababu hicho unapachika na kukitoa tu
Ahsante me yangu hii sijui unaijua@kinywanyuku
Hii ndio kama ile picha ya kwanza niliokutumia hicho kitairi cheusi hapo juu ni kibovy mno tena ukiwa unafuna kwa kukaza hakichukui muda kupasuka ike sehemu ilioungiwa na nati
Ahsante mkuuHii ndio kama ile picha ya kwanza niliokutumia hicho kitairi cheusi hapo juu ni kibovy mno tena ukiwa unafuna kwa kukaza hakichukui muda kupasuka ike sehemu ilioungiwa na nati
Mkuu Weka picha.maana mi ninayo yenye filimbi 2 orange na nyeusi ila huiita "RICE COOKER" Lakini Ni multpurposewakuu habari za jumapili nilkuwa nauliza hivi pressure cooker isiyotumia umeme ipi nzuri kati ile ya mshikio mmoja na ile yenye mishikio miwili ina filimbi mbili na ipi imara sasa me ninayo hii ya mishikio miwili na filimbi mbili kuna filimbi nyeusi na nyekundu hii nyeusi sijui kuitumia nashkuru
Mkuu Weka picha.maana mi ninayo yenye filimbi 2 orange na nyeusi ila huiita "RICE COOKER" Lakini Ni multpurpose
na mimi ninayo hiyo hiyo yako ina muda gani mkuu me yangu miezi miwili ila niliwahi kuwa nayo hii ya filimbi mbili ikaharibika kitairi nikanunua tena kama hiyo hiyo ninayo mpaka sasaMkuu Weka picha.maana mi ninayo yenye filimbi 2 orange na nyeusi ila huiita "RICE COOKER" Lakini Ni multpurpose
Yakwangu ina miaka 11 tangu June 2007 Hadi Sasa inapiga kazi vizur tuna mimi ninayo hiyo hiyo yako ina muda gani mkuu me yangu miezi miwili ila niliwahi kuwa nayo hii ya filimbi mbili ikaharibika kitairi nikanunua tena kama hiyo hiyo ninayo mpaka sasa