Msaada wana Jamvini
Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani hapa Dar. niliaanza kazi tarehe 01/04/2013 mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote wa maandishi.. lakini baada ya miezi 3 akanipandishia mshahara na mwezi wa tisa akanipandishia mshahara tena na moja kwa moja akaniingiza kwenye mfumo wa payroll , leo mwezi wa tatu 2014 nikiwa namaliza mwaka ananipa mkataba wa maandishi anataka nisaini kwamba anaanza tarehe 1/06/2013 na unaisha tarehe 31/06/2014.
nikamuuliza si inabidi nisini kuanzia siku unayonipa huu mkataba amekataa anasema mwanzo alitaka kunipa mkataba wa permanent lkn sasa hivi amebadilisha utaratibu. lkn cha kushangaza utaratibu huo anaotumia kwa mimi tu wengine wapo kazini wana miaka zaidi ya kumi na hawana mkataba.
Je naomba mnisaidie ni sahihi kuandika mkataba wa maandishi kwa kuanzia tarehe za nyuma?
Asante.
Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani hapa Dar. niliaanza kazi tarehe 01/04/2013 mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote wa maandishi.. lakini baada ya miezi 3 akanipandishia mshahara na mwezi wa tisa akanipandishia mshahara tena na moja kwa moja akaniingiza kwenye mfumo wa payroll , leo mwezi wa tatu 2014 nikiwa namaliza mwaka ananipa mkataba wa maandishi anataka nisaini kwamba anaanza tarehe 1/06/2013 na unaisha tarehe 31/06/2014.
nikamuuliza si inabidi nisini kuanzia siku unayonipa huu mkataba amekataa anasema mwanzo alitaka kunipa mkataba wa permanent lkn sasa hivi amebadilisha utaratibu. lkn cha kushangaza utaratibu huo anaotumia kwa mimi tu wengine wapo kazini wana miaka zaidi ya kumi na hawana mkataba.
Je naomba mnisaidie ni sahihi kuandika mkataba wa maandishi kwa kuanzia tarehe za nyuma?
Asante.