BALAGASHIA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2017 Posts 392 Reaction score 383 Apr 20, 2018 #1 Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mke wangu ni mjamzito anasumbuliwa na kiungulia sana.Yaani chochote anachokula anatapika naombeni ushauri au Tiba ya kumsaidia.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mke wangu ni mjamzito anasumbuliwa na kiungulia sana.Yaani chochote anachokula anatapika naombeni ushauri au Tiba ya kumsaidia.
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,784 Reaction score 13,642 Apr 20, 2018 #2 Hapo nadhan ungewauliza pia bibi au babu walioko shamba huwa wanazijua dawa za asili