Msaada kuhusu tatizo LA ngozi na matibabu yake

said macho

Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
8
Reaction score
3
Habari wana Jf
Tatizo langu ngozi yangu ya uso inakuwa inajitengeneza vipele mpaka inafikia kama jipu na ukivishika unahisi kama vimetunga usaha ila avijitengenezi pakutokea inaweza ikakauka ila sehemu nyingine kinatokea kinakuwa hivyo na vinauma naombeni msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…