Msaada kuhusu TCU

yoki84

Member
Joined
Sep 11, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Jamani naomba kuuliza Kuwa ni ipi hatma yeti sisi ambao hatuja chaguliwa hata institution hata moja ila profile zina sema "PROCESSED SUCCESSFULLY.YOU HAVE BEEN
SELECTED"
 
katika vyuo ulivyo apply, kuna hata kimoja kimesha_release majina? Mfano ud, udom, ardhi etc
 
dah inabidi somo la matumizi bora ya simu na internet litambuliwe rasmi maana hii ni aibu
 
Ni kweli ni wengi kwenye profile zao wamechaguliwa lkn majina kwenye vyuo husika hayapo,nadhan matatizo yatakuwa kwa chuo chenyewe,worry out,best solution for now tafuta mawasiliano na chuo ambacho tcu wamekupanga uone wanasemaje,tena iwe faster before usajiri,Pole
 
Huyu Young Kibaka hajielewii..sasa aibu ipi??

mimi na nyinyi ambao mmewekewa kila chuo kilichotoa majina nani hajielewi? wanaojielewa washaona majina yao mmebaki nyie WAJUAJI ambao hamwelewi mnachotakiwa kufanya. p00r kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…