issahamza New Member Joined Jun 22, 2015 Posts 4 Reaction score 0 Aug 2, 2019 #1 Jee kuishi na maambikizi ya tetenus kwa zaidi ya miaka miwili
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Aug 4, 2019 #2 Wala haujaeleweka. Labda ueleze tatizo lako ni nini hasa, mpaka ukafikia hatua ya kuuliza hivyo.
issahamza New Member Joined Jun 22, 2015 Posts 4 Reaction score 0 Sep 4, 2019 Thread starter #3 ISLETS said: Wala haujaeleweka. Labda ueleze tatizo lako ni nini hasa, mpaka ukafikia hatua ya kuuliza hivyo. Click to expand... Yaani niliumia miaka miwili iliyopita, na kidonda kilishapona naweza kuwa na virus vya TT,maana kuna dalili naziona ambazo sizielewi.
ISLETS said: Wala haujaeleweka. Labda ueleze tatizo lako ni nini hasa, mpaka ukafikia hatua ya kuuliza hivyo. Click to expand... Yaani niliumia miaka miwili iliyopita, na kidonda kilishapona naweza kuwa na virus vya TT,maana kuna dalili naziona ambazo sizielewi.
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Sep 4, 2019 #4 Hapana, labda kama uwe umeipata miezi ya hivi karibuni, sio miaka miwili nyuma. Halafu tetanus haisababishwi na virusi, ni bakteria wale Clostridium tetani
Hapana, labda kama uwe umeipata miezi ya hivi karibuni, sio miaka miwili nyuma. Halafu tetanus haisababishwi na virusi, ni bakteria wale Clostridium tetani
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Sep 5, 2019 #5 issahamza said: Yaani niliumia miaka miwili iliyopita, na kidonda kilishapona naweza kuwa na virus vya TT,maana kuna dalili naziona ambazo sizielewi. Click to expand... Dalili gani
issahamza said: Yaani niliumia miaka miwili iliyopita, na kidonda kilishapona naweza kuwa na virus vya TT,maana kuna dalili naziona ambazo sizielewi. Click to expand... Dalili gani