Msaada kuhusu TRA calculato Jamani na Uonevu wa Nchii hiii!!!

Msaada kuhusu TRA calculato Jamani na Uonevu wa Nchii hiii!!!

Fedhuli

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
351
Reaction score
123
Kuna mzee aliniomba ushauri nimsaidie kununua hiace kupitia internet, ikapatikana kwa CIF 7310 USD. Nikamuangalizia kodi kupitia TRA calculator ambayo ilionyesha kuwa atatakiwa kulipa kodi ya TSHs 4,580,000. Gari imeshafika dar bandari TRA assessment inaonyesha anatakiwa kulipa milioni 11,350,000 kama kodi tu. hivi inakaaje wanaJF. Jana mzee amenipigia simu huku amechanganyikiwa hajui afanye nini...
 
Kuna mzee aliniomba ushauri nimsaidie kununua hiace kupitia internet, ikapatikana kwa CIF 7310 USD. Nikamuangalizia kodi kupitia TRA calculator ambayo ilionyesha kuwa atatakiwa kulipa kodi ya TSHs 4,580,000. Gari imeshafika dar bandari TRA assessment inaonyesha anatakiwa kulipa milioni 11,350,000 kama kodi tu. hivi inakaaje wanaJF. Jana mzee amenipigia simu huku amechanganyikiwa hajui afanye nini...

Wewe ndiyo ulimpoteza maboya, hebu weka details za gari bila kusahau chasis number, fanya fasta!
 
Make: Toyota
CHASSIS NO.: RZH1241000793
TRANSMISSION: Manual ENGINE CAPACITY: 1,990 CC
FIXED NUMBER: 8 COLOR: White
WEIGHT: 2,140 KG MILEAGE: 188,898 KM
G.WEIGHT: 2,580 KG FUEL TYPE: Gasoline/Petrol
COUNTRY OF ORIGIN: Japan
DIMENSION(LxWxH): 18.721 M3 (499x169x222 cm)*
Hiace Commuter Z-RZH124B
CIF: 7341
 
Make: Toyota
CHASSIS NO.: RZH1241000793
TRANSMISSION: Manual ENGINE CAPACITY: 1,990 CC
FIXED NUMBER: 8 COLOR: White
WEIGHT: 2,140 KG MILEAGE: 188,898 KM
G.WEIGHT: 2,580 KG FUEL TYPE: Gasoline/Petrol
COUNTRY OF ORIGIN: Japan
DIMENSION(LxWxH): 18.721 M3 (499x169x222 cm)*
Hiace Commuter Z-RZH124B
CIF: 7341

umesahau mwaka wa hiyo gari.
 
Make: Toyota
CHASSIS NO.: RZH1241000793
TRANSMISSION: Manual ENGINE CAPACITY: 1,990 CC
FIXED NUMBER: 8 COLOR: White
WEIGHT: 2,140 KG MILEAGE: 188,898 KM
G.WEIGHT: 2,580 KG FUEL TYPE: Gasoline/Petrol
COUNTRY OF ORIGIN: Japan
DIMENSION(LxWxH): 18.721 M3 (499x169x222 cm)*
Hiace Commuter Z-RZH124B
CIF: 7341

Kaka haujaweka mwaka iliyotengenezwa, weka na namba ya simu. Kuna agent mliyempa hiyo kazi? Documents anazo nani?
 
Kuna mzee aliniomba ushauri nimsaidie kununua hiace kupitia internet, ikapatikana kwa CIF 7310 USD. Nikamuangalizia kodi kupitia TRA calculator ambayo ilionyesha kuwa atatakiwa kulipa kodi ya TSHs 4,580,000. Gari imeshafika dar bandari TRA assessment inaonyesha anatakiwa kulipa milioni 11,350,000 kama kodi tu. hivi inakaaje wanaJF. Jana mzee amenipigia simu huku amechanganyikiwa hajui afanye nini...

Niltaka kusahau jambo la msingi kabisa, hiyo gari ina seat ndani au imekuja bila seats? Ina seats ngapi? Uangalifu wa hali ya juu unahitajika kwenye hivi vitu jamani, kama uzoefu bado mdogo unaongea na wazoefu kabla ya kumsaidia mtu kuagiza kitu, unaweza kuuwa mtu kwa presha mkuu!
 
Basi nimeshapata mwaka ni ya 1995, TATIZO INA SEAT NANE TU!!! niinbox namba yako ya simu!
 
Chakachua wewe lipia ushuru wa Bajaji Nenda lumummmba ulizia Osama
 
kaka kama unaweza kumsaidia huyo mama nipatie namba zako za simu ili nimtumie,
 
Kuna mzee aliniomba ushauri nimsaidie kununua hiace kupitia internet, ikapatikana kwa CIF 7310 USD. Nikamuangalizia kodi kupitia TRA calculator ambayo ilionyesha kuwa atatakiwa kulipa kodi ya TSHs 4,580,000. Gari imeshafika dar bandari TRA assessment inaonyesha anatakiwa kulipa milioni 11,350,000 kama kodi tu. hivi inakaaje wanaJF. Jana mzee amenipigia simu huku amechanganyikiwa hajui afanye nini...

Important post tutanufaika wengi!
 
Unachotakiwa kujua ni kwamba usi base kwenye data base hiyo. Naomba nikueleze kuwa iyo ni minimum, ila inategemea na valuation ya hiyo gari, kwanza angalia declared value of cif na calculated custom value "whichever the greater" ndiyo inayotumika. Kama unachosema invoice na calculated, calculated ndio kubwa mwambie afanye apeal. Akielezea mazingira hayo. Ioa nawasiwasi na agent wake hayuko makini asingekupa lawama wewe. Pili hiyo gari kama ina seating capacity 8 inaingia kwenye group la station wagon na si mini bus, kwa iyo ina 25%, 5%, 25% and 18% acumulated.
 
Niltaka kusahau jambo la msingi kabisa, hiyo gari ina seat ndani au imekuja bila seats? Ina seats ngapi? Uangalifu wa hali ya juu unahitajika kwenye hivi vitu jamani, kama uzoefu bado mdogo unaongea na wazoefu kabla ya kumsaidia mtu kuagiza kitu, unaweza kuuwa mtu kwa presha mkuu!

mkuu haice zimegawanyika sehemu kuu tatu ambazo ni min bus, van na station wagon, sasa basi kama unahitaji nikupe sifa za kwa nini ziitwe hivyo sema, ila tu hiyo ya kwako ni station wagon ndio maana ina kodi kubwa sana
 
.....Hivi wabongo nani katuloga?........hivi kuna ubaya gani watu kuweka wazi information hapa ili watu wengine wajue waelewe hizo calculations na categories tofauti?.....kila kitu watu mnafanya "dili".....mara nitumie namba yako ya simu....mara sijui...mtafute osama......dahh!
 
mkuu haice zimegawanyika sehemu kuu tatu ambazo ni min bus, van na station wagon, sasa basi kama unahitaji nikupe sifa za kwa nini ziitwe hivyo sema, ila tu hiyo ya kwako ni station wagon ndio maana ina kodi kubwa sana

Mwenye hiyo gari si mimi mkuu umechanganya, aliyeagiza hiyo gari bila kujua iko kwenye kundi gani ni Fedhuli , sisi wote tulikuwa katika harakati za kumsaidia, hata hivyo naona ametoweka kimyakimya bila kusema amefikia hatua gani!!!
 
Last edited by a moderator:
mkuu haice zimegawanyika sehemu kuu tatu ambazo ni min bus, van na station wagon, sasa basi kama unahitaji nikupe sifa za kwa nini ziitwe hivyo sema, ila tu hiyo ya kwako ni station wagon ndio maana ina kodi kubwa sana

Hata kama kodi kubwa ndio ifanane na bei ya gari? Ni wizi tu kwa wanyonge huku matajiri wakiingiza makontena ya bidhaa siku hadi siku bila kuipia kodi.
 
Mwenye hiyo gari si mimi mkuu umechanganya, aliyeagiza hiyo gari bila kujua iko kwenye kundi gani ni Fedhuli , sisi wote tulikuwa katika harakati za kumsaidia, hata hivyo naona ametoweka kimyakimya bila kusema amefikia hatua gani!!!

Ebwana shipping agent mara ya mwisho baada ya kuambiwa alichofanya si sahihi alirudi TRA kuangalia uwezekano wa kufanya appeal lakini mpaka sasa hakuna mawasiliano na agent kwani hapokei simu, hajibu sms, yaani hakuna kinachoendelea zaidi ya kusema kwamba nikikamilisha nitakujulisha......
 
Hiace lipo ktk kundi la magari yanayotoa huduma kwa jamii hivyo yanapashwa kuwa na calculation ndogo za ushuru compare to luxury vehicles kwa mfano income tax yake ni 20% na sio 25% ya luxury vehicles etc..Tatizo wewe ulipigia hesabu CIF yako hao TRA uwa wana CIF zao ambazo uzifuata wao,kuna bwana mmoja hapo juu alikuulizia kama hiace ilikuwa na viti(Lako lilikuwa na viti)ndio maana wazoefu wa kuingiza Hiace uwa wana ng'oa viti ili tax iwe chini,hii ni sababu likiwa halina viti unawezaandikisha VAN(zile hiace za mizigo)ila likiwa na viti ushuru utapaa sana.Mwaka jana niliagiza hiace ya mwaka 2003 lisilo na viti ushuru ukawa 6.5ml lakini wakati wanakagua wakakuta viti sita wakaniambia niongeze 3ml(hapa nakuonyesha tofauti ya hiace yenye viti na isiyo na viti).kaka wewe gari lako lina dumping fee makisio yako ya 4ml ni ya chini sana,chukua namba tano za mwanzo za chasis namba ya hilo gari mpe agent mzuri atakupa makisio mazuri sana
 
Thread kama hii ndio huwa zinanifanya niipende JF. Unapata useful info, sio umbea wa kutaka kujua maisha ya watu n.k. Bravo wachangiaji wote!
 
Back
Top Bottom