Chiwolanike
New Member
- May 26, 2019
- 2
- 2
Habari wanajamvi?
Mimi ni Raia mpya jamvini na nimelazimika kuja huku ili nipate msaada wa ushauri juu ya changamoto niliyonayo.Nianze kwa kueleza nimekuwa kwenye ajira kwa vipindi vinne tofauti ingawa kwa zaidi ya miaka 7
lakini hakuna tija niliyopata kutokana na ajira hizo imefika wakati naona napoteza muda,hivyo nimekuja na wazo la ujasiliamali kupitia ufugaji wa Kuku.Wazo langu ni kufuga Kuku wa kienyeji kwa mtazamo wa kibiashara ingawa sijui lolote juu ya ufugaji wa kuku
.Ninao mtaji wa milioni 5 sina banda na naishi Geita kwenye nyumba ya kupanga.naomba mwongozo wenu kujua yafuatayo
1Ni aina gani ya kuku wa kienyeji wenye tija kibiashara.
2.Ni idadi gani yafaa kuanza nayo ili tija ionekane.
3.Ni banda la ukubwa gani litatosha kwa idadi hiyo.
4.Ni muda gani kuku anachukua toka kutotolewa mpaka kufaa kuliwa/kutaga.
5.Ni aina gani ya vyakula ambavyo vinaweza kufanya Kuku wakue vizuri.
Na mwisho niwaombe nisiwafunge na mawazo yangu mnishauri kadri mtakavyoona inafaa kwani hii sasa ni fainali.
Mimi ni Raia mpya jamvini na nimelazimika kuja huku ili nipate msaada wa ushauri juu ya changamoto niliyonayo.Nianze kwa kueleza nimekuwa kwenye ajira kwa vipindi vinne tofauti ingawa kwa zaidi ya miaka 7
lakini hakuna tija niliyopata kutokana na ajira hizo imefika wakati naona napoteza muda,hivyo nimekuja na wazo la ujasiliamali kupitia ufugaji wa Kuku.Wazo langu ni kufuga Kuku wa kienyeji kwa mtazamo wa kibiashara ingawa sijui lolote juu ya ufugaji wa kuku
.Ninao mtaji wa milioni 5 sina banda na naishi Geita kwenye nyumba ya kupanga.naomba mwongozo wenu kujua yafuatayo
1Ni aina gani ya kuku wa kienyeji wenye tija kibiashara.
2.Ni idadi gani yafaa kuanza nayo ili tija ionekane.
3.Ni banda la ukubwa gani litatosha kwa idadi hiyo.
4.Ni muda gani kuku anachukua toka kutotolewa mpaka kufaa kuliwa/kutaga.
5.Ni aina gani ya vyakula ambavyo vinaweza kufanya Kuku wakue vizuri.
Na mwisho niwaombe nisiwafunge na mawazo yangu mnishauri kadri mtakavyoona inafaa kwani hii sasa ni fainali.