Msaada kuhusu ujauzito na dawa za minyoo

Beutyqueen

New Member
Joined
Mar 16, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Habari wapendwa
Nligundulika nna minyoo na UTI kisha nkapatiwa dawa, bt kabla ya kupewa dawa hzo nlipimwa ujauzito kwani hzo dawa haziruhusiwi kutumia mjamzito ila nlivopima haukuonekana (nahis ilikua ni siku chache baada ya kuconceive) kwahyo nlipewa dawa hzo nkatumia, sasa baada ya wk2 nkaanza kusikia dalili za kichefuchefu kupima mimba nmekuta nnayo..... Hofu yangu ni kwamba zile dawa nlizotumia haziwez kuwa na madhara kwa ujauzito wangu? Na nini nifanye kuzuia madhara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…