Nundaaaatz
Senior Member
- Oct 8, 2012
- 132
- 89
WADAU HABARI ZENU,
KUNA HALMASHAURI MOJA KWENYE BAJETI YA 2015/2016 IMEELEZA KUWA IMENUNUA GARI JIPYA KWA THAMANI YA MILIONI TISINI LAKINI CHA KUSHANGAZA GARI HIYO IMEKUJA NA NAMBA ZA USAJILI DFPA 2020. KWA HIYO MADIWANI WAKAAMBIWA KUWA GARI HIYO IMENUNULIWA MPYA NA HALMASHAURI IPO KWENYE UTARATIBU WA KUBADILI NAMBA.
JAMANI KWELI JAMBO HILI LIPO SAWA KULINGANA NA SHERIA YA MANUNUZI YA UMMA NA SHERIA NYINGINE ZA NCHI HII TANZANIA?
Mkuu, ushawahi sikia risasi ikipasua mawingu? kama wapo sahihi ni sawa lakini kama hawapo sahihi maisha yangu rehani!Taja hiyo halmashauri ili watu tuingie kazini
Mkuu, ushawahi sikia risasi ikipasua mawingu? kama wapo sahihi ni sawa lakini kama hawapo sahihi maisha yangu rehani!
Mkuu, mi nimeomba kujuzwa utaratibu maana ndo hoja ya msingi,BWANA USIZUNGUKE WEW TAJA HALMASHAURI
SEMA WILAYA GANI TUFATILIE..MBONA MWOGA HIVYOKuna namna hapo sio bure.hiyo ni gari ya wafadhili/mradi ya halmashauri ingeanza na SM!
Ndio maana nikaomba msaada maana nikijua hilo ntawajulisha wahusika ili hela hiyo milion tisini irudi na wahusika washtakiwe!Kuna namna hapo sio bure.hiyo ni gari ya wafadhili/mradi ya halmashauri ingeanza na SM!
Halmashauri ya Mji kibahaSEMA WILAYA GANI TUFATILIE..MBONA MWOGA HIVYO
GOOD NADHAN MODES ABADALI TITLE ILI KUONGEZA MJI KIBAHAHalmashauri ya Mji kibaha
SHERIA YA MANUNUZI INARUHUSU SERIKALI KUNUNUA MAGARI USED?Kuna uwezekano halmashauri imenunua hilo gari used toka kwa mashirika ya kimataifa likiwa ktk hali nzuri tu kwa lengo la kubana Matumizi. Sioni tatizo lipo wapi