Msaada kuhusu utaratibu wa kumwachisha kazi Jaji mkuu

Kajuni

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2009
Posts
483
Reaction score
186
Wataalamu wa sheria tafadhali naomba mnijuze kuhusu utaratibu wa ni jinsi gani Jaji mkuu anaweza kufukuzwa kazi endapo asipotekeleza majukumu yake sawa sawa. Ufahamu wangu ni kwamba Jaji anateuliwa na raisi lakini Raisi hana mamlaka ya kumfukuza kazi. Sasa kwa sheria za hapa Tanzania utaratibu ni upi?
 
Soma katiba iko wazi kwenye hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…