Naomba msaada wa kujua dawa au namna ya kufanya kidonda kupona haraka au kukauka.Mimi nina kidonda hakionyeshi hata dalili ya kupona.Tafadhali wakuu,mwenye ufahamu wa mambo hayo naomba mnisaidie.Asante
Naomba msaada wa kujua dawa au namna ya kufanya kidonda kupona haraka au kukauka.Mimi nina kidonda hakionyeshi hata dalili ya kupona.Tafadhali wakuu,mwenye ufahamu wa mambo hayo naomba mnisaidie.Asante