Kuna mambo ya kuzingatia.
1. Je kunyonyesha? Kama ananyonyesha, kutokupata siku sio jambo la kushangaza.
2. Iwapo ameamua kutumia ni muhimu kujua aina gani ya kutumia. Zipo dawa nyingine zinapunguza maziwa na anaweza kujikuta anakosa cha kumnyonyesha mtoto.
Pata majibu ya mambo hayo mawili halafu njoo kwa ushauri zaidi...
Apana Anyonyeshi Kwan Wakati Wa Kujifungua Mtoto Alifia 2mboni. Na Vidonge Alivyopewa Vinaitwa Vidonge Vya Familia.