AGAPE BOY
Senior Member
- May 24, 2015
- 194
- 159
Hope mko poa na mnaendelea na majukumu yenu vizuri,,
nahitaji msaada kidogo kuhusu vitamini C,, najua kuna baadhi ya vyakula na matunda ni chanzo kikuu cha hii vitamini C, lakini pia vitamini C inapatikana kwenye maduka ya famasia..
ninachotaka kuulizia ni bei ya hizi vitamini C dukani na ni kwa namna gani wanauza pamoja na vipimo vyake,,
mwenye uelewa na ujuzi juu ya hili tusaidiaene plzzzz
nahitaji msaada kidogo kuhusu vitamini C,, najua kuna baadhi ya vyakula na matunda ni chanzo kikuu cha hii vitamini C, lakini pia vitamini C inapatikana kwenye maduka ya famasia..
ninachotaka kuulizia ni bei ya hizi vitamini C dukani na ni kwa namna gani wanauza pamoja na vipimo vyake,,
mwenye uelewa na ujuzi juu ya hili tusaidiaene plzzzz