humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 622
Huyo mdogo wako ni freshers kwa maana ametoka form six au ni inservice na kachaguliw coz ipi?Ndugu zangu nina mdogo wangu amefanikiwa kuchaguliwa ktk vyuo hivi viwili vya elimu ya juu vya Jordan University College kilichoko Morogoro na St. Augustine University - Arusha Campus. Naomba mwenye kuvijua vyuo hivi vizuri kwenye upande wa miundo mbinu, mazingira na ubora wa elimu anisaidie kunipa taarifa. Natanguliza shukrani kwenu.
Mmmh Chuo ni chuo lakin mbna kama alikurupuka ?Ndugu zangu nina mdogo wangu amefanikiwa kuchaguliwa ktk vyuo hivi viwili vya elimu ya juu vya Jordan University College kilichoko Morogoro na St. Augustine University - Arusha Campus. Naomba mwenye kuvijua vyuo hivi vizuri kwenye upande wa miundo mbinu, mazingira na ubora wa elimu anisaidie kunipa taarifa. Natanguliza shukrani kwenu.
😂🤣😂🤣nipo jordani hapa mwaka wa pili karibu sana (mimi ni mdada)