msaada kuhusu wanawake/wasichana wa kimasai huwa wanavaaga CH#p! kweli??

msaada kuhusu wanawake/wasichana wa kimasai huwa wanavaaga CH#p! kweli??

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
habari za Siku wakuu kama heading inavyosema hapo juu naomba kujuzwa kuhusu ndugu zetu/watanzania wenzetu wanaolinda mila na tamaduni zao afrika ya mashariki (masai) hivi huwa wanavaaga ch#pi kama ilivyokua kwa wanawake wa makabila mengne au nao wapo kama waume /wanaume zao? maana tumebishana sana kitaa mpaka wengine wakataka kwenda kufanya juu chini ili wakawachungulie wale wadada wa kimasai wanaouza dawa zao za asili
kwa waliokaa na wamasai naomba wanijuze kidogo

#yunGt3mp3R
 
nyupi zinaleta kansa za kizazi ndo mana huwezi sikia masai mgumba.
 
Duuuuh! Naona aibu mimi niliesoma sijui mwandishi anajisikiaje.
 
Back
Top Bottom