Msaada kuhusu wizara ya MIFUGO

Msaada kuhusu wizara ya MIFUGO

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
841
Reaction score
134
HESHIMA MBELE WAKUU!
Jamani naomba kujuzwa,
hivi hii wizara ya Mifugo inatoa lini NAFASI ZA MASOMO kwa mwaka wa masomo 2012/2013 ?
maana naangalia kwenye website yao hata sio kama kuna Tangazo
AU
kama wameishatoa Nafasi hzo ntawezaje kupata form yao?
 
bado hawajatoa!!!
nilienda pale wizaran wik 1 iliyopita wamesema wanaweza kutoa mwishon mwa mwez huu. Vuta subira mkuu wakitoa 2tafahamishana.
 
Thanks
braza
maana nilishaanza kuwa na wasiwasi
ntakuwa mvumilivu
 
Back
Top Bottom