KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Nimeibiwa mita za LUKU na kadi zake na nina uhakika zinatumika somewhere. Nitafanyaje kupata namba na mahali zinakotumika kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mita ya LUKU ni mali ya Tanesco. Wajulishe.Nimeibiwa mita za LUKU na kadi zake na nina uhakika zinatumika somewhere. Nitafanyaje kupata namba na mahali zinakotumika kwa sasa?
thanxWasiliana na polisi....
Nenda Tanesco wataizima, akiwafata wanamdaka
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app