Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!

Brigita, safari sio bomba, pita bar uone wangapi wanakunywa safari, angalia iko siku utajinyea kwa kunywa hio misafari yako.
 
Hahahaha! dah kiongozi hiyo ilikuwa kali! si ndo maana naomba maushauri yenu mazee? kibarua kizuri na bia tamu. Hell! I can't say no to BEER!
usiombe yakukute mkuu,maana jumanne nimeenda mdogo kama piriton,hasa pale bosi aliposema alichukua simu ili aongee namimi kesho niwahi job kuna kazi muhimu,nikamwambia achana na mimi bana,ilibidi niwe mpole kweli hiyo wiki maana jamaa alikua na hasira kweli,alinionea kichizi wiki hiyo maana kila akisema kitu ikawa ni "yes boss",yes boss".
 
ngoja niwahi home nikamtoe mshiki leo na kesho mchana ili kuanzia jioni TUSITAFUTANE.............
si unajua mambo ya INFIDELITY?

Mkuu, ile thread ya carmel haujaipitia? Akiona hili bandiko anaweza kujinyonga!
 
Hahahahaha!

Kiongozi hapa umenivunja mbavu vibaya. Hii kitu Juice ya Molasses ndio kitu gani tena yailah toba? Dah! Hii biashara ya kuishi vijijini inatupotezea vingi sana.
 
Chrispin kila kukicha huishi vituko wewe .....

Heinken tingisha kama imeisha lete nyingine dawa ya moto ni fire ...
We nenda na bia ya kuzimua ofisini hiyo Jtatu
 
Nna imani tangu kipindi hicho hujapandishwa cheo wala kuongezwa mshahara ili liwe fundisho kwako na kwa wengine wenye tabia kama yako!!!

Mkuu, ile thread ya carmel haujaipitia? Akiona hili bandiko anaweza kujinyonga!
Baba Eno; Carmel anajua sana kuwa INFIDELITY IS THERE TO STAY! Basi tu...........
 
Chrispin kila kukicha huishi vituko wewe .....

Heinken tingisha kama imeisha lete nyingine dawa ya moto ni fire ...
We nenda na bia ya kuzimua ofisini hiyo Jtatu
Hakyanani wewe umenipa ushauri mzuri kuliko wote.

Tatizo kale kaharufu ka ngano ntakatoaje?
 
Kabla mbavu zangu hazijesha jamani..

infidelity theory pamoja na equations zake

enhe Chrispo anasema it is there to stay...

geoff anasema anacheza na theory tu kwa sasa

carmel upo?

back to the topic,

hommie, ukirudi usiku home do ze nidiful, pombe yote itakwisha tu kama utadumisha mila kama kawaida! Jumatatu unaamka uko mwepesiiiii
 

Nimezingatia itifaki hapo hommie. Ila sometimes ulabu ukizidi mila huwa haikumbukwi. Itakuwaje hapo hommie?
 

Mpwa ungenialika ningekuwa nakupetpet pembeni! ila kina Matesha tungehakikisha tunawapiga bia za kutosha wanalewa kwanza then sie harusi ikiisha tunaelekea viwanja vingine vya maraha!! nakuhakikishia hutapanta ng'o hangover! Mlevi unatikiwa bia moja unachezesha chezesha mwili si unakunya hata mazoezi kidogo hupati...Ok mpwa kila la heri ila angalia jumapili uwe tu mtu wa kunywa club soda ya safari!!
 
Nimezingatia itifaki hapo hommie. Ila sometimes ulabu ukizidi mila huwa haikumbukwi. Itakuwaje hapo hommie?

funga kamba mkono wa kushoto au kajani kadogo,, kisha ukiakribia home uwe unaimba 'mila na idumishwe na watu wote', apo ukiingia ndnai full mzuka tu (ila ujitahidi usikumbuke sredi ya carmel)
 
Hakyanani wewe umenipa ushauri mzuri kuliko wote.

Tatizo kale kaharufu ka ngano ntakatoaje?

nitakupitishia Big G na ndizi Mbivu wakati naenda kwenye kijiwe changu pale migomigo ......
 
Nna imani tangu kipindi hicho hujapandishwa cheo wala kuongezwa mshahara ili liwe fundisho kwako na kwa wengine wenye tabia kama yako!!!
mkuu mpaka leo hata niumwe kweli jamaa haniamini kabisa.
 



eeh! hata siku 2 hazijapita za sredi ya carmel.....kweli this is here to stay lol:rofl:
 


yaaani wewe na Avatar yako unafaa kumpa Xpin company mkisaidiana na Geoff na Fidel80

 
Mimi ndio dawa yako.Nitahakikisha hivyo virusi vya hengiova havikupati.
Hahahaha! Hatimaye mgambo wangu ameingia!!! Nyie watu tafadhali chungeni vidole vyenu msiniharibie mambo hapa. Mchumba ulikuwa wapi na haka kamvua? LOL!

Taratibu mamaa, hebu twende PM kwanza.

funga kamba mkono wa kushoto au kajani kadogo,, kisha ukiakribia home uwe unaimba 'mila na idumishwe na watu wote', apo ukiingia ndnai full mzuka tu (ila ujitahidi usikumbuke sredi ya carmel)
Kwa kweli hili li thread la Carmel linahitaji kudeletewa. Ngoja nicheki na invizibo. Haiwezekani aidhalilishe mila ya kiafrika namna hii.
 
Hahahahaha!

Kiongozi hapa umenivunja mbavu vibaya. Hii kitu Juice ya Molasses ndio kitu gani tena yailah toba? Dah! Hii biashara ya kuishi vijijini inatupotezea vingi sana.

mKUU ni tute tubia twa ilala mazee... si unaonaga yale ma-molases yanapotoka pale kupelekea wachagga wenzetu walishie mombe!???

USISAHAU YALE MABANGO YETU == JF MAPENZI BAND - LEO TUPO HAPA = INDOOR PUB, DJ GEOFF ATARUSHA WATU MAJOKA NA X-PIN ATAONGOZA KUGIDA ULANZI NA JUISI YA MOLASES
 
HEHEHEHEHE!
topik kama hizi kaizer lazima atue box aje kuchangia

habari za ubeligiji mkuu kaizer?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…