Msaada kujiunga na barchelor waliomaliza diploma NTA level 6 2014

3024

Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
45
Reaction score
4
kwa tuliomaliza diploma nta level 6 2014 mbona kwenye system (CAS) miaka iliyowekwa ni 2010-2013 kwa sisi mbona mwaka 2014 haupo?tunafanyaje na deadline ni 31 july? msaada tafadhali
 
Navyojua mimi inabidi ulaze mwaka yaani uingie 2015. Mana sidhani kama transcript umepata. Hata loan board utaombaje wakati transcript huna? Wanafanya hvyo ktokana systems za vyuo kwa waliosoma diploma kwa kuwa wapo wengine watafanya supplementary exams, kwa hyo kuepusha yote ndo mana wakaandika 2010/13. Pole mkaka.
 
duh kazi ipo mbona nimeona wanafunzi wengi walio maliza diploma mwaka huu wanafanya application za mkopo?....
 
Kwa hiyo application za mikopo wanapeleka na matokeo gani ya diploma? Ikiwa vyuo vingine matokeo hayajatoka na hata yakitoka wapo watakaopata supplementary?
 
Kwa hiyo application za mikopo wanapeleka na matokeo gani ya diploma? Ikiwa vyuo vingine matokeo hayajatoka na hata yakitoka wapo watakaopata supplementary?

kijana kuaply mkopo uweki matokeo ya six wala ya chuo, ndio maana waliaply kabla hata matokeo ya 6 ayajatoka.
 
Mkuu kitu cha msingi jaribu kuwasiliana na NACTE au Chuo chako inawezekana hawajapeleka matokeo yenu ya mwaka huu sababu kuna baadhi yq vyuo wameshapeleka matokeo NACTE ma wanafunzi wanaendelea kuomba vyuo kama kawaida
 

Waliomaliza diploma mwaka jana 2013 na waliunga wapo wengi tu nawafahamu, mwaka huu sijui imekuaje .
 

mbona waliomaliza mwaka jana 2013 waliunga
 
duh kazi ipo mbona nimeona wanafunzi wengi walio maliza diploma mwaka huu wanafanya application za mkopo?....

mkopo unaomba tu hata kwa matokeo ya form 4 kwa waliosoma diploma bila ya advance, baada ya matokeo yako ya diploma kutoka utaaply barcherlor through CAS then kama utachaguliwa jina lako litatimwa bodi then kama una vigezo utapewa mkopo au la
 
may be hayajawa uploaded nacte kwa sababu matokeo yenyew yametoka jana tu, umesema watu wanaendelea kuaplly je wamemaliza mwaka huu 2014?
 
Evz kama hauna cheti una transcript je na ndio umeambatanisha chet kilikosewa wanakukonsider au????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…