Msaada kujiunga na tia

Msaada kujiunga na tia

CMIMI

Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
12
Reaction score
0
Naombeni msada wa kueleweshwa crite
ria zkiwemo na passmark za kujiunga na T I A kw waliomaliza form 4
 
Naombeni msada wa kueleweshwa crite
ria zkiwemo na passmark za kujiunga na T I A kw waliomaliza form 4
Unaanzia na basic technician certificate course (NTA 4) ambayo ni mwaka mmoja.na sifa ni kuanzia D Nne na kuendelea Pale kidogo wapo makini tofauti na chuo kama cbe kama utakuwa huna kuanzia hizo D nne nenda kwanza pale cbe unaweza kukubaliwa kwani kuna vijana wengi ninao wafahamu walikuwa hawana vigezo vya kujiunga hapo tia ila walipoenda cbe waliruhusuwa ila ni kwa hao waliomaliza form 4, huko kwingine sina ushahidi.
 
Back
Top Bottom