Simple F
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 1,293
- 1,767
Mada tajwa Baba yangu ana tatizo la kutosikia lililomtokea ghafla mwaka 1996 nakupata matibabu hadi kuishia Bugando kutokana na kipato chake kidogo hakufanikiwa kupona na Madaktari walimruhusu arudi nyumbani ingawa ana uwezo wa kukutazama mdomoni kuelewa nini unasema kwa shida sana hivyo wataalamu naomba mnisaidie kujua gharama za matibabu zinazoweza kumtibu hasa kwa kutumia earphones arudishe uwezo wa kusikia ili nijipange nimfanyiea matibabu hayo mzazi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app