habari wana JF, mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa kila mwezi kiasi tutakacho kubaliana mpaka nimalize kiasi kilicho baki.nina milioni tano kama kianzio.
Hio million 5 ukitulia unapata 'usafiri' mzuri tu wala huna haja ya kuingia madeni, au unataka gari ya kutangaza jina?!
Magari ya bei hiyo ni kama yepi?
habari wana JF, mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa kila mwezi kiasi tutakacho kubaliana mpaka nimalize kiasi kilicho baki.nina milioni tano kama kianzio.