bukoba vijijini
Member
- Jan 25, 2015
- 36
- 13
Wakuu heshima yenu,naomba msaada wenu katka jambo hili tafadhalini. Jambo lenyewe ni hili "ikiwa nafahamu mwaka na mwezi niliozaliwa. Je kuna njia yeyote ya kujua siku niliozaliwa.
Hope watundu wa hesabu watakuwa na msaada kwangu.
Hope watundu wa hesabu watakuwa na msaada kwangu.