Msaada: Kukosea taarifa za GPA kwenye Ajira Portal

Msaada: Kukosea taarifa za GPA kwenye Ajira Portal

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5.

Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
 
Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5.

Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
Ndyo kna tatizo, hapo rud kwenye ajira portal ka update upya information zako especially kwenye GPA yako,
 
Mkuu yaani huoni kabisa kwamba kuna tatizo kubwa hapo? 3.5 ni upper second hiyo mpaka 2.8.

Tatizo kubwa hilo

Japo bado najiuliza amechanganya vipi GPA yake kwa namba kama hizo angalau ingekuwa 4.5 au 2.5
 
Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5.

Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
Unaweza tu uka update mkuu hakuna tatizo
 
Kupata notification ya kuitwa kwenye interview naipata wapi? Au wanakutumia kwa njia gani baada ya kuapply?
 
Back
Top Bottom