Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Mdondo, Kifaduro,....Ana dalili za mafua?
HongeraMdondo, Kifaduro,
Zamani sana nilijifunza hayo magonjwa ya kuku
Mara kadhaa mafua sugu humletea Kuku kitu kama mafuta mazito meupe kwenye koo au machoni, hivyo ikiwa ana dalili za mafua unaweza msaidia kuku kwa kumkamua taratibu hayo matongotongo unayoyaona kisha msafishe kwa pamba au kitambaa safi, mpake mafuta na umuanzishie dozi ya mafua haraka.Msaada wakuu. Namsaidiaje huyu Kuku? Nimekuta ana JICHO lina tongotongo linaziba, amekosa raha kabisa hata kula yake ya shida
Ana dalili za mafua?
Ahsantee ndugu kesho asubuhi nitakua shamba na kumpiga Picha.Mara kadhaa mafua sugu humletea Kuku kitu kama mafuta mazito meupe kwenye koo au machoni, hivyo ikiwa ana dalili za mafua unaweza msaidia kuku kwa kumkamua taratibu hayo matongotongo unayoyaona kisha msafishe kwa pamba au kitambaa safi, mpake mafuta na umuanzishie dozi ya mafua haraka.
Ungeweka picha ya Kuku ingesaidia zaidi kufahamu ugonjwa lakini kwa hisia hivi twaweza kuwa tunazungumzia ugonjwa usio sahihi.