Msaada,,kuku wangu wa kienyeji wanaumwa

E52

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
81
Reaction score
14
Wadau nina kuku wangu wa kienyeji wana wiki wametoka dodoma, leo asubuhi wamekufa 2,,wanaumwa mafua makali mpaka wanashindwa kuhema vizuri,wanakua kama wanakoroma na kusinzia....naombeni ushauri nitumie dawa gani,,,,,kuna dawa nimewapa lakini naona haisaidii,,,,msaada wenu pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…