YouTube
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 936
- 361
Op Msaada kulipiwa mafunzo ya TMT, yatayofanyika Dar es salaam tareh 23/10/2017-27/10/2017
Mm ni kijana wa kiume, umri wangu ni late 20s naish Dar es salaam, mm ni mhitimu chuo fulani nchin undergraduate, masomo ya teknolojia ya mawasiliano miaka kadhaa iliyopita. Ajira ni ngumu kupata, naendelea kuapply bado sijakata tamaa.
Fursa ya forex iliyoletwa jukwaan na ndugu yetu ONTARIO nimeielewa vizuri na nimevutiwa nayo sana, na Vitabu kadhaa nimeanza kuvisoma na demo account nimedownload.
Ili kufanikisha kuielewa fursa hii na kuifanya kwa usahihi hapana budi kihudhuria training hii ya wiki moja inayotolewa na TMT.
OMBI:
Msaada wa kulipiwa training inayogharimu Tsh 130,000/-, pesa hii inatakiwa kulipwa kabla ya tareh 23/10/2017 . Hapa nilipo nimekwama kwa kila hali yaani nimekosa, nikaona nilete jukwaani. Mtu atakayeguswa nitashukuru sana akinisaidia kunilipia, asinipe cash anitolee moja kwa moja kwa ofis za TMT zilizopo jangid plaza. Au anaweza wasiliana na sekretari wa TMT namba 0754311568 akalipa moja kwa moja kwa mpesa au either way. Akishalipa anijulishe tu ametumia utaratibu gani (anipe maelekezo) niende nichukue risiti, hivyo niweze kuhudhuria mafunzo hayo yatayoanza jumatatu ijayo. Pia Akinitumia moja kwa moja nitalipa na kuweka uthibitisho wa malipo kwenye huu uzi, na kumtumia pia yeye uthibitisho. La mwisho Akiweza kunisaidia na kianzio cha $100 nideposit right way kwenye account ya jpmarket nitamshukuru sana ili nianze kutrade mara tu baada ya kuiva.
Ninaahidi kuzilipa kwa muhusika nikifanikiwa, akisema nisimlipe ninaahid kumlipia mtu mmoja training na kumpa kianzio cha $100.
Natanguliza shukran zangu za dhati, mbarikiwe wote. Mungu awazidishie maradufu kwa kila unachotoa kumsaidia mwenye uhitaji.
Mficha uchi hazai, wenye kucheka na kutoa maoni kwa dharau na kusema mm tapeli mnaruhusiwa.
Yeyote mwenye kuguswa. Pls send me pm au use this number - - - - - - - -.
Thank you!
Siku njema!
Mm ni kijana wa kiume, umri wangu ni late 20s naish Dar es salaam, mm ni mhitimu chuo fulani nchin undergraduate, masomo ya teknolojia ya mawasiliano miaka kadhaa iliyopita. Ajira ni ngumu kupata, naendelea kuapply bado sijakata tamaa.
Fursa ya forex iliyoletwa jukwaan na ndugu yetu ONTARIO nimeielewa vizuri na nimevutiwa nayo sana, na Vitabu kadhaa nimeanza kuvisoma na demo account nimedownload.
Ili kufanikisha kuielewa fursa hii na kuifanya kwa usahihi hapana budi kihudhuria training hii ya wiki moja inayotolewa na TMT.
OMBI:
Msaada wa kulipiwa training inayogharimu Tsh 130,000/-, pesa hii inatakiwa kulipwa kabla ya tareh 23/10/2017 . Hapa nilipo nimekwama kwa kila hali yaani nimekosa, nikaona nilete jukwaani. Mtu atakayeguswa nitashukuru sana akinisaidia kunilipia, asinipe cash anitolee moja kwa moja kwa ofis za TMT zilizopo jangid plaza. Au anaweza wasiliana na sekretari wa TMT namba 0754311568 akalipa moja kwa moja kwa mpesa au either way. Akishalipa anijulishe tu ametumia utaratibu gani (anipe maelekezo) niende nichukue risiti, hivyo niweze kuhudhuria mafunzo hayo yatayoanza jumatatu ijayo. Pia Akinitumia moja kwa moja nitalipa na kuweka uthibitisho wa malipo kwenye huu uzi, na kumtumia pia yeye uthibitisho. La mwisho Akiweza kunisaidia na kianzio cha $100 nideposit right way kwenye account ya jpmarket nitamshukuru sana ili nianze kutrade mara tu baada ya kuiva.
Ninaahidi kuzilipa kwa muhusika nikifanikiwa, akisema nisimlipe ninaahid kumlipia mtu mmoja training na kumpa kianzio cha $100.
Natanguliza shukran zangu za dhati, mbarikiwe wote. Mungu awazidishie maradufu kwa kila unachotoa kumsaidia mwenye uhitaji.
Mficha uchi hazai, wenye kucheka na kutoa maoni kwa dharau na kusema mm tapeli mnaruhusiwa.
Yeyote mwenye kuguswa. Pls send me pm au use this number - - - - - - - -.
Thank you!
Siku njema!