MSAADA :KUMALIZIKA KWA MKATABA.

kingmb94

Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
53
Reaction score
37
Natumain ni wazima wa Afya, Je kuna ulazima wa mwajili kumpa barua (notes) Mwajiriwa kuwa hatoweza kumwongezea mkataba mwingine atakapo maliza mkataba alio nao. Nawasilisha kwenu kwa ufafanuzi wa sheria zinavyo sema
 
Natumain ni wazima wa Afya, Je kuna ulazima wa mwajili kumpa barua (notes) Mwajiriwa kuwa hatoweza kumwongezea mkataba mwingine atakapo maliza mkataba alio nao. Nawasilisha kwenu kwa ufafanuzi wa sheria zinavyo sema
Rejea kifungu cha 41 cha Sheria ya kazi na Mahusiano kazi Na. 6 ya Mwaka 2004.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…