Blessed Keinerugaba JF-Expert Member Joined Nov 16, 2011 Posts 4,754 Reaction score 4,746 Jul 16, 2012 #1 Dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya, nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii. Nahitaji msaada.
Dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya, nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii. Nahitaji msaada.
Mama Yeyoo Senior Member Joined Mar 25, 2012 Posts 101 Reaction score 38 Jul 16, 2012 #2 Gilo24 said: dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya,nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii pliz help needed Click to expand... Ingia katika blog ya ladyjaydee peruzi kurasa za nyuma,i think za march-may 2012 kuna post aliweka ina rehabilitation centre for addicts imenzishwa ipo Mikocheni...kuna contacts zao humo...all the best with her mkuu
Gilo24 said: dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya,nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii pliz help needed Click to expand... Ingia katika blog ya ladyjaydee peruzi kurasa za nyuma,i think za march-may 2012 kuna post aliweka ina rehabilitation centre for addicts imenzishwa ipo Mikocheni...kuna contacts zao humo...all the best with her mkuu
mayenga JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 4,118 Reaction score 1,970 Jul 16, 2012 #3 Nenda pale Mwenge nyuma ya zile butcher za nyama,kuna kituo cha kuwasaidia watu wa namna hiyo.
Mahmetkid JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 732 Reaction score 443 Jul 16, 2012 #4 Gilo24 said: dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya,nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii pliz help needed Click to expand... Kama hupo maeneo ya kinondoni, mpeleke Mwananyamala hospitali wamefungua kliniki kwa ajili ya watumia madawa ya kulevya ( Methodona Clinic). Kama hupo pande zingine za Dar, mpeleke Muhimbili.
Gilo24 said: dada yangu mwenye umri wa miaka 20 anatumia madawa ya kulevya,nahitaji kuelekezwa mahali au namna ya kuacha tabia hii pliz help needed Click to expand... Kama hupo maeneo ya kinondoni, mpeleke Mwananyamala hospitali wamefungua kliniki kwa ajili ya watumia madawa ya kulevya ( Methodona Clinic). Kama hupo pande zingine za Dar, mpeleke Muhimbili.
nabbingo Senior Member Joined Mar 2, 2015 Posts 101 Reaction score 47 Aug 31, 2015 #5 Zanzibar Sober House. Contact: +255 782 000 426 (Suleiman) au +255 719 296 501 (Seif)