Msaada: Kuna binti ananipiga vizinga vya uongo

Msaada: Kuna binti ananipiga vizinga vya uongo

Apollo one spaceship

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2021
Posts
245
Reaction score
457
Wakuu natumaini hamjambo naomba ushauri nichukue maamuzi gani

Kuna binti amezoea kunipiga vizinga ilhali sina mahusiano nae ni ile tu kujuana kishikaji, mbaya zaidi anakuingizia uongo ambao muda mwingine ukija kuchunguza yeye mwenyewe anakiri kuongopa.

Maisha magumu naona kama ananipa majukumu ambayo siyo yangu. Hivyo naombeni ushauri nichukue hatua gani wakuu
 
Akikuomba tena mwambie aje home kuchukua akiwa amevaa kanga moja...

Otherwise endelea kuwa gentleman bwege,mpe tu hela na usiulize au kuhitaji chochote in return.
 
Mgonge ile style ya dunia panuka, ama ile ya hamza kafia ubalozini....🤣
 
Huna pesa, wenye pesa hawalalimiki hovyooo.
Lol.
 
Jiongeze babu unataka hadi akutongoze? [emoji851][emoji851]
 
Back
Top Bottom