Msaada: Kuna kitu kinavuta hasa pale haja kubwa inapobana

Msaada: Kuna kitu kinavuta hasa pale haja kubwa inapobana

lovely097

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
277
Reaction score
147
Tatizo ni mtu unapobanwa haja kubwa kinaanza kwanza kimaumivu kama kitu kinavuta sehemu ya haja kiasi kwamba mtu unaganda kwanza maana hata kusogeza mguu huwezi mpaka kitakapoachia, ndo uende haja lasivo ukifika msalani huwezi chuchumaa.

Jamani msaada ni tatizo gani au ni ugonjwa gani?
 
Back
Top Bottom