Nimekuwekea link ya habari hapo juu,ila kwa kifupi ti si kwamba keyless ndo zinasababisha au zinatoa carbon monoxide kuliko zile zenye kutumia ufungio. Tatizo ni kwamba watu huwa wanasahau na kuacha ingine idling kwenye closed garage. Hapo ndo issue ya carbon monoxide inapotokea sasa. Hata zile gari za kuwasha na funguo ukiacha idling kwenye closed garage zinatoa carbon monoxide vile vile. Asante
Tupo pamoja mkuu wangu.Watu kama nyie ndio tunawahitaji hapa. Karibu sana.
sijaelewa bado chief!Nimekuwekea link ya habari hapo juu,ila kwa kifupi ti si kwamba keyless ndo zinasababisha au zinatoa carbon monoxide kuliko zile zenye kutumia ufungio. Tatizo ni kwamba watu huwa wanasahau na kuacha ingine idling kwenye closed garage. Hapo ndo issue ya carbon monoxide inapotokea sasa. Hata zile gari za kuwasha na funguo ukiacha idling kwenye closed garage zinatoa carbon monoxide vile vile. Asante
Mkuu samahani kama nimekuchanganya,kwa huku nilipo neno garage ni sehemu unayopaki gari au kuhifadhi hardware kadhaa nyumbani kwako.Kuna zile ambazo zipo wazi na kuna zile ambazo zipo closed na mara nyingi huwa zimeunganishwa na nyumba.Yaani ukiingia garage kupaki gari mlango wa garage unafungwa wewe unaingia ndani ya nyumba( Unaweza ku type closed garage kwenye google kisha ukaona images ndo utanielewa vizuri). Sasa hapo issue ni kwamba unapoacha gari inaunguruma hata kwa dakika 5 tu kisha ukarudi ndo shughuli ya carbon monoxide utakapoifahamu.Nafikiri umenielewa kiongozi.sijaelewa bado chief!
ukiacha idling kwenye closed garage kivipi?
sasa nimekuelewa, asante sana.Mkuu samahani kama nimekuchanganya,kwa huku nilipo neno garage ni sehemu unayopaki gari au kuhifadhi hardware kadhaa nyumbani kwako.Kuna zile ambazo zipo wazi na kuna zile ambazo zipo closed na mara nyingi huwa zimeunganishwa na nyumba.Yaani ukiingia garage kupaki gari mlango wa garage unafungwa wewe unaingia ndani ya nyumba( Unaweza ku type closed garage kwenye google kisha ukaona images ndo utanielewa vizuri). Sasa hapo issue ni kwamba unapoacha gari inaunguruma hata kwa dakika 5 tu kisha ukarudi ndo shughuli ya carbon monoxide utakapoifahamu.Nafikiri umenielewa kiongozi.
Sorry again. Vipi kuhusu mapungufu ya Touareg ni toleo lipi haswa 2010 au 2016?Mkuu samahani kama nimekuchanganya,kwa huku nilipo neno garage ni sehemu unayopaki gari au kuhifadhi hardware kadhaa nyumbani kwako.Kuna zile ambazo zipo wazi na kuna zile ambazo zipo closed na mara nyingi huwa zimeunganishwa na nyumba.Yaani ukiingia garage kupaki gari mlango wa garage unafungwa wewe unaingia ndani ya nyumba( Unaweza ku type closed garage kwenye google kisha ukaona images ndo utanielewa vizuri). Sasa hapo issue ni kwamba unapoacha gari inaunguruma hata kwa dakika 5 tu kisha ukarudi ndo shughuli ya carbon monoxide utakapoifahamu.Nafikiri umenielewa kiongozi.
Upo sawa kabisa hapo kiongozi.sasa nimekuelewa, asante sana.
kwahiyo tatizo hapo sio gari ila ni eneo ambalo umeweka gari? kwamaana navyoelewa mimi kila gari inaEmit carbonmonoxide.
Kwanza kabisa naomba nikuambie kuwa kwenye magari,recall huwa ni jambo la kawaida sana na linatokea mara kwa mara. Kama upo Tanzania ni vigumu sana kujua kuhusu recall kwa kuwa magari tunayonunua huko huwa ni ya muda mrefu sana.Kama ukigoogle any car make kwa mfano uweke BMW au marcedes recall utaona models zilizokuwa recalled,au kama unakumbuka Takata airbag recall kama miaka mitatu iliyopita.Sorry again. Vipi kuhusu mapungufu ya Touareg ni toleo lipi haswa 2010 au 2016?
Je kwani wazirecall tuu hizo za China na sio worldwide?
Zilizopo huku Bongo hilo tatizo hazina?
Za bongo mshachafua sana seat mnapigia show kwenye gari. Nyie endesheni hivo hivoSorry again. Vipi kuhusu mapungufu ya Touareg ni toleo lipi haswa 2010 au 2016?
Je kwani wazirecall tuu hizo za China na sio worldwide?
Zilizopo huku Bongo hilo tatizo hazina?