MSAADA KUNA ULAZIMA WA KUCHANGIA UJENZI WA OFISI ZA KISERIKALI

MSAADA KUNA ULAZIMA WA KUCHANGIA UJENZI WA OFISI ZA KISERIKALI

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Wakuu niko dodoma mjini hapa mitaa ya changombe kuna kijana anapita akichangisha fedha za kujenga ofisi ya serikali za mitaa anataka buku kila frame za kubeba matofali naomba kujuzwa nikimtimua kisheria ni kosa au maana buku ni ndogo ila hii serikali imeshatuona wananchi wake ni nyumbu kuna mlolongo wa kodi kibao wakidai ni za maendeleo iweje leo kodi nalipa na bado nichangie maendeleo tena ni hapa jijini dodoma
 
nipe muongozo mkuu kuna ulazima wa kutoa au akija nifukuze
Hakuna sheria kimsingi inayokualazimisha uchangie labda kama kuna by laws imepitishwa serikali za mitaa.
Lakini Wewe unaonaje? Hiyo ofisi ikiwepo ni msaada kwenu au la?
Halafu buku tu ndio uanzishe mjadala kweli? Changia mandeleo hayo
 
Usichangie
Ila siku ukiwa na shida na ofis ya serikali ya mtaa utaisoma namba
 
Hakuna sheria kimsingi inayokualazimisha uchangie labda kama kuna by laws imepitishwa serikali za mitaa.
Lakini Wewe unaonaje? Hiyo ofisi ikiwepo ni msaada kwenu au la?
Halafu buku tu ndio uanzishe mjadala kweli? Changia mandeleo hayo
kwani mkuu hizi tozo ni za nini mpaka nichangie buku ya kubeba tofali kwani mkandarasi hakujua tofali ziko mbali na site akaorodhesha mahitaji
 
Usije ukafanya ujinga kama huo, ww huoni kila siku CAG anasema wanapiga mabilion. Alafu peda ya kujenga ofisi unachangia ww.

Kuna siku waliwahi kunifata, Ila niliwafurahisha waliondoka wanyonge sana.
 
Hakuna sheria kimsingi inayokualazimisha uchangie labda kama kuna by laws imepitishwa serikali za mitaa.
Lakini Wewe unaonaje? Hiyo ofisi ikiwepo ni msaada kwenu au la?
Halafu buku tu ndio uanzishe mjadala kweli? Changia mandeleo hayo
Acha kumtia ujinga, kachangie wewe.
 
Back
Top Bottom