🤯Nazan abadl taharfa ktk taharfa zake mahal anapoish aweke za sasa kqbla labda tarehe 6
Thanks sana mkuu nilifanikiwaInawezekana kabisa mkuu wala usiangaike kutumia nauli! Kikubwa kada iwe moja! Kwa sababu lengo la wao kuweka mikoa ni kuwapunguzia gharama! Kikubwa wasiliana nao wakubadilishie! Na hata usipowapata siku ile ya interview wahi eneo la tukio waambie snario yako! Wala hakuna shida kabisa! Kuna mtu alipangiwa ruvuma lakini siku ya usaili alifanyia mtwara! System zinasomana hakuna kitachoharibika
Inawezekana, wasiliana nao mapema . Ukishindwa kuwapata, siku ya usahili wahi kwenye kituo cha usahili uwaanbie watasiliana wenyewe kwa wenyeweHabari ndugu zangu?
Natumaini mko salama na wazima wa afya.
Samahani naomba kuuliza jambo ninechaguliwa katika online written interview za utumishi lakini kituo nilichopangiwa ni mkoa mwingine mbali kabisa na mkoa niliopo sasa ivi.
Nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa kufanyia interview hii katika kituo kilichopo katika mkoa niliopo sasa ivi?