Msaada kununua bitcoins

Msaada kununua bitcoins

Jamani msaada tafadhari wakubwa
Mura Marwa ACHANA na hiyo kitu kabisa, ni utapeli wa kutupwa
hapo $50 ni kama 116,000.00
zipo nyuzi humu kibao zinavyoelezea watu wanapigwa na hizo Electronic money
km D9, ONTARIO, tumepigwa sana ni bora ucheze Kamari ukisubiria majibu hapohapo
mm niliamonishwa na wafanyakazi wa Benki tukacheza lkn Daniello akatupiga Nchi kibao
na niliyempa hela mpaka sasa tunpishana tu, sasa wewe una roho hiyo?
 
Mura Marwa ACHANA na hiyo kitu kabisa, ni utapeli wa kutupwa
hapo $50 ni kama 116,000.00
zipo nyuzi humu kibao zinavyoelezea watu wanapigwa na hizo Electronic money
km D9, ONTARIO, tumepigwa sana ni bora ucheze Kamari ukisubiria majibu hapohapo
mm niliamonishwa na wafanyakazi wa Benki tukacheza lkn Daniello akatupiga Nchi kibao
na niliyempa hela mpaka sasa tunpishana tu, sasa wewe una roho hiyo?
Mkuu ninahitaji hizi coin kidogo kuna kihuduma nataka kukilipia anonymously na wanakubali bitcoin na litecoin halafu mimi sio mgeni kivile kwenye hizo issue maana kitu muhimu kwenye cryptocurrencie ni private key
 
Mkuu ninahitaji hizi coin kidogo kuna kihuduma nataka kukilipia anonymously na wanakubali bitcoin na litecoin halafu mimi sio mgeni kivile kwenye hizo issue maana kitu muhimu kwenye cryptocurrencie ni private key
kumbe unataka kwa kubadilishana $50 kwa bitcoin
nilifikiri unataka mtu akakutolee / akununulie ukaanze biashara ya Bitcoin
ingia Goolge tafuta D9 utawapata member kibao na hasa twitter
au hapa wapo viongozi na simu zao kila Mkoa wana cryptocurrency watakusaidia
 
Tena kimbe nina mwaka sijachingulia imefikia milion21. Najita kizaliwa, ishu ya bitcoin nliishtukia mapemaaaaa2009 akati nimeanza kazi nikataka nikope 3mil ninunue bitcoin. Wakati huo inauzwa elf2 za madafu kama sikosei
Screenshot_20191103-185526.jpeg
 
Mura Marwa ACHANA na hiyo kitu kabisa, ni utapeli wa kutupwa
hapo $50 ni kama 116,000.00
zipo nyuzi humu kibao zinavyoelezea watu wanapigwa na hizo Electronic money
km D9, ONTARIO, tumepigwa sana ni bora ucheze Kamari ukisubiria majibu hapohapo
mm niliamonishwa na wafanyakazi wa Benki tukacheza lkn Daniello akatupiga Nchi kibao
na niliyempa hela mpaka sasa tunpishana tu, sasa wewe una roho hiyo?
Acha ufisadi mkuu.. kama hujui kitu kaa kimya... Pambafu kabisaa
 
Hii bitcoin ilipata thamani kubwa ghafla miaka michache iliopita baada ya bill gates kuisifia na kusema kuwa inaenda kutawala biashara duniani.

Mkuu hujachelewa! Kuna cryptocarences zenye bei ndogo, na ukiangalia kwa umakini utagundua kwa sasa na nyakati zijazo dunia inahitaji zaidi kutumia pesa za kielektronic.

Haya mahela ya kubeba kuna muda utafika yatabaki kuwa histori!

Tena kimbe nina mwaka sijachingulia imefikia milion21. Najita kizaliwa, ishu ya bitcoin nliishtukia mapemaaaaa2009 akati nimeanza kazi nikataka nikope 3mil ninunue bitcoin. Wakati huo inauzwa elf2 za madafu kama sikoseiView attachment 1253072
 
post: 25425847 said:
Kuna jamaa angu alikua ananishawishi, mara anitumie video ya waliojiunga wanakula bata, mara snapshot ya pesa alizopata, ili mradi fujo tu! Sa iv akipita kama ananipotezea ivi! Kuumbe! Ila maisha lazima yaendelee, waliokosa wameshajifunza kitu katika investment! Ila dah! Dola 2100 ni nyingi wazee
watu bado wabishi Pyramid wanaokula ni 1%
 
Tena kimbe nina mwaka sijachingulia imefikia milion21. Najita kizaliwa, ishu ya bitcoin nliishtukia mapemaaaaa2009 akati nimeanza kazi nikataka nikope 3mil ninunue bitcoin. Wakati huo inauzwa elf2 za madafu kama sikoseiView attachment 1253072
ka.a sijaelewa hivi. Au ndio sio kila kitu lazima nielewe.

Yaani nilikuwa najua bitcoin ni sarafu kama sarafu zingine tu. Labda bitcoin moja yaweza kuwa 2500 za madafu. 😳😳Mil25+
 
ka.a sijaelewa hivi. Au ndio sio kila kitu lazima nielewe.

Yaani nilikuwa najua bitcoin ni sarafu kama sarafu zingine tu. Labda bitcoin moja yaweza kuwa 2500 za madafu. 😳😳Mil25+
Halafu cha ajabu imetengenezwa na mtu asiyejulikana ila mifumo yake hata CIA wameshindwa kudukua
 
Wakubwa mwenye uwezo wa kuninunulia bitcoin za thamani ya $50 mtandaoni naomba anicheck pm tafadhari
Baada ya uteuzi wa waziri mpya wizara ya VB imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa Kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na Kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina samani haya Ndiyo makujuku ya wakala huo:

1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo Kwa utaratibu uliopo Kwa kila wilaya

2: Kuajili watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia Kwa mujibu wa utaratibu/Kanuni zilizopo

3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata Takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali Kwa mujibu wa miongozo

4: Kushauri wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini

5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa

6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji Kwa kutoa ushauri WAPI zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji

7: Kutoa ushauri Kwa wizara ya VB ya namna Bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na Kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika

#tag Kuongeza watu wa kupanda NDEGE, Reli na kupunguza utitili wa majengo yasiyotumika
 
Back
Top Bottom