Msaada: Kununua nyumba Tanzania kwa hela zilizo benki iliyo Marekani.

Nadhani tuache kudanganyana hapa; kama fedha umezipata kwa halali na unataka kuzitumia kwa uhalali unaweza kuzihamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine bila tatizo. Unachotakiwa kufanya ni ku prove kwamba umezipata kwa halali na utazitumia kwa uhalali.
 

Kamanda hili ni la ukweli kabisa. Sielewi tatizo limeanzia wapi haswa.

Kuna thread ilianzishwa humu kwamba soko la mambo ya nyumba halipo regulated. Watu wanauza vitu kwa bei ya ajabu sawa na bei za US kwenye prime areas. It is crazy out there mazee.

Huenda waizi wa mali ya umma wanasababisha haya maana wao ndo wanunuzi wa kumwaga hayo mahela, maana hawakuyatolea jasho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…