Mkuu hapo tupo pamoja, halafu hujamwambia kuhusu hizo bei zenu zisizo na kichwa wala mguu
Nyumba mbavu za mbwa kiwanya lease hold bei ni ya kufa mtu
Nilikuwa na tudola 100,000 nikaonyenshwa nyumba ya milioni 200 ambayo hamna maji, umeme wala barabara, nighbourhood mshikemshike mtaa mmoja baa tatu, ikabidi nishindwe mimi, lakini kwa budget hiyo hiyo nimeweza kununua nyumba Johannesburg na appartment Dubai na chenji ikabaki