Msaada kuondoa ili gonjwa la ajabu

ekomu1

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2018
Posts
295
Reaction score
330
Wakuu nimepata mapele makubwa kwenye uume na mapaja na eneo la mavuzi jamani kwa mtu anaye jua dawa ya kuondoa naomba tu aniambie nimetumia dawa bado hali ni tete
 
Wahi hospitali kabla mambo hayajawa mabaya zaidi
 
Mimi sio professional sana ila hii iko kama warts.....

Jaribu kusoma kuhusu (warts) kuna dawa zake....

Tafuta internet ( warts)
 
Daaah pole Sana mkuu, hiyo hali imekuanza baada ya kulala na mwanamke? Dadavua zaidi ili tukupe ushirikiano
 
Wakuu nimepata mapele makubwa kwenye uume na mapaja na eneo la mavuzi jamani kwa mtu anaye jua dawa ya kuondoa naomba tu aniambie nimetumia dawa bado hali ni tete
Wahi hospitali haraka sana kabla mambo hayajazidi kuharibika
 
Unaona aibu kwenda hospitali? Wacha hiyo paipu itobobe ikakatwe ubaki na kovu...halafu pambaff kwani mtaani kwenu kondom hazipatikani?
 
mkuu ungeenda hosp kabla hata ya kuja hapa, ona post ya kwanza kama ungekuwa na roho ndogo si ungeenda kujitosa baharini hehehehe

pole saana mkuu hilo ni gonjwa la zinaa,

ulicheza game peku, kuwa makini siku nyingine utapata AIDS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…