Msaada kuondoa ili gonjwa la ajabu

Wakuu nimepata mapele makubwa kwenye uume na mapaja na eneo la mavuzi jamani kwa mtu anaye jua dawa ya kuondoa naomba tu aniambie nimetumia dawa bado hali ni tete
punguza kula malayaaa kijana utakufaa. ngono zembe inauwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…