Msaada kuondokana na uoga wa hivi...

Msaada kuondokana na uoga wa hivi...

google helper

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
9,623
Reaction score
13,759
Jamani wadau nina ndugu yangu anauoga ulipitiliza, ni kijana ambae naona akiendelea hivi kwa miaka hii anaweza akaliwa 0713 kabisa kwan hajiamini kabisa anaweza hata akakusalia hata mara tano kwa masaa kidogo. Ukimleta kwa wadada ndo majanga hata kuwakaribia jasho, ukija kwenye presentation huko chuo ndo balaa sasa wadau namna ya kumsaidia tafadhali....
 
jamani wadau nina ndugu yangu anauoga ulipitiliza, ni kijana ambae naona akiendelea hivi kwa miaka hii anaweza akaliwa 0713 kabisa kwan hajiamin kabisa anaweza hata akakusalia hata mara tano kwa masaa kidogo. ukimleta kwa wadada ndo majanga hata kuwakaribia jasho, ukija kwenye presentation huko chuo ndo balaa sasa wadau namna ya kumsaidia tafadhali....


We unadhani ni nini kinachangia yeye kutojiamini? GOOGLEhelper
 
Last edited by a moderator:
That is called SOCIAL PHOBIA. Ni psychological problem na unatakiwa kumpeleka kwa clinical au counselling psychologist haraka. Kwani wewe uko wapi na yeye yuko wapi?. Kama vipi ni PM
 
That is called SOCIAL PHOBIA. Ni psychological problem na unatakiwa kumpeleka kwa clinical au counselling psychologist haraka. Kwani wewe uko wapi na yeye yuko wapi?. Kama vipi ni PM


Mwaga hapa jamvini mkuu.
Mambo pm ni kwa secret issue only.
 
That is called SOCIAL PHOBIA. Ni psychological problem na unatakiwa kumpeleka kwa clinical au counselling psychologist haraka. Kwani wewe uko wapi na yeye yuko wapi?. Kama vipi ni PM

mwaga hapa ushauri mkuu
 
Mwaga hapa jamvini mkuu.
Mambo pm ni kwa secret issue only.

Kumbuka counselling inahitaji personal information na ndo maana kllazima ifanyike private. Public information nimeshatoa kwamba hiyo inaitwa SOCIAL PHOBIA. Sasa upande wa tiba hata siku moja haiwezi kuwa public. Sorry for that but it is ethical standards.
 
yaaan haijulikani ilianzaje ila toka nikae nae karibu, kuanzia mwaka jana nimeona ni muoga sana,
 
Hii kitu wengi wanayo.. tena chuoni wengine utetemeka na kushindwa kuprizenti
 
Back
Top Bottom