karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Habarini zenu wapendwa
Naomba kupewa msaada na maelezo katika baadhi ya mambo nitakayo yaainisha hapo chini.
Kwanza kabisa mimi ni kijana mtafutaji kama wengi wetu tulivyo nilipoenda kijijini nikaamua kuwekeza kwenye kilimo cha mahindi kwa kulima mimi binafsi pia kununua kutoka kwa baadhi ya wakulima.
Lakini nataka kujikita katika swala zima la kuuza unga wa mahindi, mtama, muhogo na unga wa lishe bila kusahau mchele.
Katika swala zima la mashine, mizani, vifungashio na mahitaji mengine yote nishakamilisha kila kitu lakini swala moja ndio linalonitatiza.
Kuhusu masoko changamoto za Biashara yenyewe na mengine yote nimefatilia na kila kitu kipo sawa.
Swala linalonitatiza ni kutaka kuongeza virutubisho kwenye bidhaa nitakayo zalisha.
Naomba kupewa msaada na maelezo katika baadhi ya mambo nitakayo yaainisha hapo chini.
Kwanza kabisa mimi ni kijana mtafutaji kama wengi wetu tulivyo nilipoenda kijijini nikaamua kuwekeza kwenye kilimo cha mahindi kwa kulima mimi binafsi pia kununua kutoka kwa baadhi ya wakulima.
Lakini nataka kujikita katika swala zima la kuuza unga wa mahindi, mtama, muhogo na unga wa lishe bila kusahau mchele.
Katika swala zima la mashine, mizani, vifungashio na mahitaji mengine yote nishakamilisha kila kitu lakini swala moja ndio linalonitatiza.
Kuhusu masoko changamoto za Biashara yenyewe na mengine yote nimefatilia na kila kitu kipo sawa.
Swala linalonitatiza ni kutaka kuongeza virutubisho kwenye bidhaa nitakayo zalisha.