Msaada kupangisha nyumba za Magomeni Kota

Msaada kupangisha nyumba za Magomeni Kota

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wakuu igweeee

Naomba kujuzwa au kujua utaratibu wa kupanga kwenye zile nyumba za Magomeni Kota zile mpya

Kama kuna mtu anakaa hapo anipe Raman alipataje nyumba pale

Na mambo ya rent yako vipi?

Nawasilisha
 
Wakuu igweeee

Naomba kujuzwa au kujua utaratibu wa kupanga kwenye zile nyumba za Magomeni Kota zile mpya

Kama kuna mtu anakaa hapo anipe Raman alipataje nyumba pale

Na mambo ya rent yako vipi?

Nawasilisha
Mama yangu mdogo ni muhanga wa waliovunjiwa pale kwahiyo alivyoitwa kwenda kuchukua nyumba yake akaichukua akanipa kwa M7,
 
Mama yangu mdogo ni muhanga wa waliovunjiwa pale kwahiyo alivyoitwa kwenda kuchukua nyumba yake akaichukua akanipa kwa M7,

Ah okay means zinauzwa sio mambo ya kupangisha au anaeuziwa anakuwa anaweza kuamua kumpangisha mtu
 
Hizo nyumba hazipangishwi kwa uwazi

Hizo nyumba wamepewa watu waliokuwa wanaishi nyumba za zamani zilizovunjwa. Wamepewa waishi bure bila kulipa kodi kwa miaka mitano.
Na wamekatazwa kabisa kupangisha maana wakigundulika wanaporwa mkataba.

Kwa ujanja uwa wanaziuza . Yaani anakuuzia haki yake ya kuishi pale kwa miaka mitano yote.. anakupigia hesabu ya kodi ya kila mwezi kwa miezi 60. Then unamlipa yote yeye anakuachia nyumba yake.. hawezi kukubali kodi ya miezi 6 sababu anajua ni kosa kubwa na ikigundulika ataporwa haki yake ya miezi yote 60

Kama unataka kuishi pale ni lazima umtafute mtu mwenye haki ya kuishi pale muongee akuuzie haki yake ya kuishi
 
Hizo nyumba hazipangishwi kwa uwazi

Hizo nyumba wamepewa watu waliokuwa wanaishi nyumba za zamani zilizovunjwa. Wamepewa waishi bure bila kulipa kodi kwa miaka mitano.
Na wamekatazwa kabisa kupangisha maana wakigundulika wanaporwa mkataba.

Kwa ujanja uwa wanaziuza . Yaani anakuuzia haki yake ya kuishi pale kwa miaka mitano yote.. anakupigia hesabu ya kodi ya kila mwezi kwa miezi 60. Then unamlipa yote yeye anakuachia nyumba yake.. hawezi kukubali kodi ya miezi 6 sababu anajua ni kosa kubwa na ikigundulika ataporwa haki yake ya miezi yote 60

Kama unataka kuishi pale ni lazima umtafute mtu mwenye haki ya kuishi pale muongee akuuzie haki yake ya kuishi

Aaah hapo sasa nimeelewa
 
Wakuu igweeee

Naomba kujuzwa au kujua utaratibu wa kupanga kwenye zile nyumba za Magomeni Kota zile mpya

Kama kuna mtu anakaa hapo anipe Raman alipataje nyumba pale

Na mambo ya rent yako vipi?

Nawasilisha
umefikia wapi?
 
Back
Top Bottom