Msaada kupata evidence ya mawasiliano ya simu. Tumeibiwa

babake nasreen

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
703
Reaction score
491
Naombeni kama kuna mtu anafanyakazi tigo au anafahamiana na mtu wa tigo,anisaidie jinsi gani naweza kupata evidence ya mawasiliano kuna mtu ameiba bajaji yetu..
 
Anza na Polisi kisha,watakupa Muongozo,
Ila ukipata RB nenda kampuni ya Simu,TCRA ambapo wao watajua kwenye data base zao.

Ila kesi hizi Polisi wanakuwa wazito kweli,mie nin akesi ya mdogo wangu aliibiwa Pale PPF Tower ndani ya Ofisi zao kwa utapeli,mpaka leo hakuna jipya.Mpaka nikaamua kumzimia hukuhuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…