Anza na Polisi kisha,watakupa Muongozo,
Ila ukipata RB nenda kampuni ya Simu,TCRA ambapo wao watajua kwenye data base zao.
Ila kesi hizi Polisi wanakuwa wazito kweli,mie nin akesi ya mdogo wangu aliibiwa Pale PPF Tower ndani ya Ofisi zao kwa utapeli,mpaka leo hakuna jipya.Mpaka nikaamua kumzimia hukuhuku