Hi guys,
Naomba msaada, juzi nikiwa natembea kwa miguu maeneo ya Mwenge Sokoni nimedonndosha funguo ya Gari pamoja na ya ofisi. Mvua ilikuwa inanyesha sana. Je, kuna mtu anayeweza nisaidia namna yakupata funguo nyingine? Sina kopi yoyote ndani ni toyota IST.
Asanteni