drappohkishimbo
Senior Member
- Jan 3, 2017
- 132
- 65
Punguza pia tention kabla,baada na wakati watendo hii pia huchangia kunakipindi ilinitokea sana ila nilipokuja kugundua nikawa poa sometimes in a good mood naunganisha hata viwili trust me labda kama unatatizo lingine kikubwa zingatia sana maandalizi hata bao moja wanaridhizikaga wengine!!NB utamu wa kufanya mapenzi ni ejaculation tu
hii naskia ni hatari sana mkuu.Saga maziwa na tende, inakua kama milk shake. Ni tamu iwe ndo juis yake ni hatari sana
Duuh! Asikusahau katika ...Ufalme wake....! Kwa hiyo umesaidia kusukuma gari ili likiwaka udandie?
Kwa muda gani mkuu?Mazoezi, kunywa chai yenye asali, green tea, baada ya muda unaweza kufanya baada ya muda mfupi
Mwezi mmoja, hivi. Halafu kama unatumia bia acha kwa muda huo, then utaona matokeoKwa muda gani mkuu?
Hebu weka mpangilio mzuri basiZoezi +kitunguu saum+asali+tangawizi+mdalasini+habat soda+ tikitiki maji= tatizo lako litakua limeisha kwa 100% Urudi na mrejesho ili wengine wafaidike.
Not necessarilyYou need to have an active woman not otherwise