Msaada: Kupata stahiki PSSSF baada ya kufukuzwa kazi

Msaada: Kupata stahiki PSSSF baada ya kufukuzwa kazi

dotdot

Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
75
Reaction score
19
Wadau nilitaka kufahamu kuhusu sheria ya michango ya uanachama wa PSSSF.. kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi katika sekta ya umma.

Bahati mbaya akapata majanga akafukuzwa kazi. Je, anaweza kulipwa zile stahiki zake ambazo alikua anakatwa kila mwisho wa mwezi kwa maana ya michango ya uanachama ya PSSSF.
 
wadau nilitaka kufaham kuhusu sheria ya michango ya uanachama wa PSPF..kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi katika sekta ya umma.Bahat mbaya akapata majanga akafukuzwa kazi,,,je anaweza kulipwa zile stahiki zake ambazo alikua anakatwa kila mwisho wa mwezi kwa maana ya michango ya uanachama ya PSPF
Ukifukuzwa kazi au ukiachishwa unapewa mafao yako yote ila ukiaccha kazi mwenyewe unasubiri mpaka ufikie 55 yrs ndio uchukue
 
Ukifukuzwa kazi au ukiachishwa unapewa mafao yako yote ila ukiaccha kazi mwenyewe unasubiri mpaka ufikie 55 yrs ndio uchukue
Mkuu, Achana na story za kisiasa Ukifukuzwa huna chako PSSSF
 
Nyie si mmekabidhi nchi wasiojielewa.. twendeni mdogo mdogo hivi hivi mpaka tuje tuongee lugha moja
 
Kwa alietumbuliwa kwa utoro yeye anaingia kundi gani? je ana haki yoyote ya kudai alichokikusanya? Wajuvi mtupe elimu hapa.
 
Back
Top Bottom